#BCTST

Taasisi isiyo ya kiserikali ya ”TANZANIA LAMBERT FOUNDATION”(TLF) ikiwa imeungana na Taasisi ya TANZANIA NETWORK PEOPLE WHO USE DRUGS (TANPUD)Inakualika wewe Mdau/Shirika/Kikundi au Serikali kuunga Mkono Tamasha maalum la michezo lililolenga Kupinga Matumizi ya madawa ya Kulevya kwenye jamii zetu kwa kutoa Mchango wako wa hali na mali kama nguo, mikanda, tshirts na hata ushiriki wako kwa wahitaji waathirika wa madawa hayo ili kufanikisha tukio hili kubwa linalotarajiwa kufanyika Tarehe 25/06/2024 katika Uwanja wa Muhimbili uliopo Jijini Dar es salaam.

wa Mawasiliano Zaidi unaweza Piga Simu namba 0769416653 ,Email info@lambertfoundation.or.tz au Fika katika ofisi zetu zilizopo kituo cha mwendokasi magomeni usalama. Jengo linaloangaliana na watumishi house floor ya kwanza.

Taasisi isiyo ya kiserikali ya ”TANZANIA LAMBERT FOUNDATION”(TLF) ikiwa imeungana na Taasisi ya TANZANIA NETWORK PEOPLE WHO USE DRUGS (TANPUD)Inakualika wewe Mdau/Shirika/Kikundi au Serikali kuunga Mkono Tamasha maalum la michezo lililolenga Kupinga Matumizi ya madawa ya Kulevya kwenye jamii zetu kwa kutoa Mchango wako wa hali na mali kama nguo, mikanda, tshirts na hata ushiriki wako kwa wahitaji waathirika wa madawa hayo ili kufanikisha tukio hili kubwa linalotarajiwa kufanyika Tarehe 25/06/2024 katika Uwanja wa Muhimbili uliopo Jijini Dar es salaam. Read More »

Taasisi isiyo ya kiserikali ya ”TANZANIA LAMBERT FOUNDATION”(TLF) ikiwa imeungana na Taasisi ya TANZANIA NETWORK PEOPLE WHO USE DRUGS (TANPUD)Inakualika wewe Mdau/Shirika/Kikundi au Serikali kuunga Mkono Tamasha maalum la michezo lililolenga Kupinga Matumizi ya madawa ya Kulevya kwenye jamii zetu kwa kutoa Mchango wako wa hali na mali kama nguo, mikanda, tshirts na hata ushiriki wako kwa wahitaji waathirika wa madawa hayo ili kufanikisha tukio hili kubwa linalotarajiwa kufanyika Tarehe 25/06/2024 katika Uwanja wa Muhimbili uliopo Jijini Dar es salaam.

Katika tukio hilo itatolewa Semina kuhusu madhara ya Matumizi ya Dawa za kulevya, elimu kwa jamii juu ya unyapaa kwenye familia zetu dhidi ya wahanga wa matumizi ya madawa hayo,na mambo mengine mengi mazuri bila ya kusahau kutakuwa na Michezo Mbalimbali ikiwemo Mpira wa Miguu, kuvuta Kamba, Kufukuza kuku n.k kwa Mawasiliano Zaidi unaweza Piga

Taasisi isiyo ya kiserikali ya ”TANZANIA LAMBERT FOUNDATION”(TLF) ikiwa imeungana na Taasisi ya TANZANIA NETWORK PEOPLE WHO USE DRUGS (TANPUD)Inakualika wewe Mdau/Shirika/Kikundi au Serikali kuunga Mkono Tamasha maalum la michezo lililolenga Kupinga Matumizi ya madawa ya Kulevya kwenye jamii zetu kwa kutoa Mchango wako wa hali na mali kama nguo, mikanda, tshirts na hata ushiriki wako kwa wahitaji waathirika wa madawa hayo ili kufanikisha tukio hili kubwa linalotarajiwa kufanyika Tarehe 25/06/2024 katika Uwanja wa Muhimbili uliopo Jijini Dar es salaam. Read More »