TLF Warudisha Tabasamu kwa Jamii

TANZANIA LAMBERT FOUNDATION(TLF) imekusudia kuendelea na kuchangia wahitaji kuleta furaha kwa mwingine mana kesho yaweza kuwa wew ndiye mhitaji.

Pichani ni ……..

TLF imefanikiwa ktk kupata msaada kidogo wa mabegi, sare za shule, madaftari na kawapa ushaur sahihi kabla hawajajiunga na masomo yao ya juu

Tunataman msomaji aweze kutuunga mkono ktk shughuli zetu za kuwasaidia watoto waweze kwenda shule na furaha

Tukio ni urudishaji wa mchango na shukrani kwa jamii

Kupitia kituo cha wahitaji kilichopo Moscow…kilicholenga makabidhiano ya uniform na mahitaji mengine ya shule kwa wanafunzi watatu waliofaulu level ya kidato cha nne

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *